Friday, 5 February 2016

Matokeo Ya Ngao Ya HISANI

Mechi ya ngao ya hisani ilichezwa mjini DODOMA kati ya timu ya AREA "C" dhidi ya timu ya jeshi GUNNERS ambayo iliibuka bingwa katika msimu uliopita wa ligi daraja la tatu ingawa walishindwa kumalizia mbio zao kufika daraja la pili juzi tena wamechapwa kipigo cha 4 - 0 na AREA "C" kuibuka kidedea

No comments:

Post a Comment